|

Arc Hoteli
Morogoro, Tanzania
Wapendwa
wageni wetu,
Karibuni Arc,
hoteli iliyopo
Morogoro
,
Tanzania
.
Arc hoteli
imefunguliwa hivi karibuni, ni hoteli ya kisasa iliyo katika viwango vya
kimataifa. Ipo pembezoni mwa mji wa Morogoro,
kama
kilomita 2 toka
katikati
ya mji, kandokando mwa barabara kuu ya Dar es Salaam kuelekea Dodoma au
Zambia.
Arc
hoteli
inatoa huduma nzuri ya vyumba vya kulala kwa mtu mmoja mmoja, wawili
wawili au zaidi.
Vyumba vyake vinatazama mandhari
nzuri ya milima ya Uluguru.
Mgahawa
wa Arc hoteli unaoitwa “Mikumi” hutoa huduma ya vyakula mbalimbali,
vinavyotolewa ama ndani au nje kwenye eneo
la
wazi lenye hewa safi na upepo mzuri utokao milimani. Huduma katika mgahawa
huu ni pamoja na kifungua kinywa, chakula
cha mchana na jioni/usiku. Vyakula hivi ni vya mapishi ya
Kiafrika,
Kihindi,
Kichina, Kimataifa,
na vinginevyo vya kimataifa
ambavyo
hutayarishwa na wapishi wataalamu katika jiko lenye vifaa mbalimbali
vya kisasa.
Sisi kutoa
viwango maalum kwa ajili ya vyama na karamu.
Aidha,
Arc hoteli ina ukumbi wa mikutano unaoitwa “Udzungwa” wenye
uwezo wa kupokea hadi watu 45 kwa ajili ya mikutano,
semina
au warsha.
Huduma
zitolewazo katika eneo lililowazi ni pamoja na huduma za baa iitwayo “Wami-Mbiki”;
hapo ni mahali utakapofurahia
vinywaji mbalimbali
baridi au moto mara baada ya vipindi vya mkutano.
Information about the Arc Hotel
(pdf document) Visit
to the Arc Hotel
Write
a review on
|
|


Bofya
katika picha, ili uikuze
-
Photo
Gallery
Jinsi
Ya Kutufikia
Arc
Hoteli ipo pembezoni mwa mji wa
Morogoro, kama kilomita 2 toka
katikati ya mji,
kandokando ya barabara kuu ya Dar es Salaam kuelekea
Dodoma au Zambia.
Ipo
mahali panapopendeza chini ya milima ya Tao la Mashariki na hasa karibu
kabisa
na milima ya Uluguru, Hoteli hii huonekana kwa urahisi upande wa
kushoto katika
barabara kuu ukitokea Dar es Salaam unapokaribia mji wa
Morogoro kama
inavyoonyeshwa katika ramani hapa chini.

Bofya
katika Ramani ili uikuze
View slide show:
_______________________
Visit
us at:
|
|
Muda
wa kutoka: Saa 5 asubuhi
Muda wa kuingia: Saa 6
mchana
| CREDIT
CARDS ACCEPTED |
Visa
Master
Card
Eurocard |
|
HUDUMA
KWA UJUMLA
|
| Baa |
| Gari
la kukodi |
| Baa
ya kokteli(mchapalo) |
| Huduma
za mikutano |
| Kifungua
kinywa aina ya kimagharibi |
| Ukumbi
wa chakula |
| Udobi |
| Huduma
za Intaneti |
| Maegesho
salama ya magari |
| Mgahawa |
| Huduma
za vyumbani |
| Vyumba
vyenye luninga |
| Huduma
ya kuamshwa |
|
|
| |
| HUDUMA
ZA VYUMBANI |
| Kiyoyozi
|
| Huduma
za dobi |
| Mahali binafsi pa kuogea
|
| Simu |
| Luninga |
|
|
| |
SERA
YA WATOTO
Arc Hoteli inazikaribisha pia familia zenye
watoto.
Hoteli
inao uwanja wenye michezo mizuri kwa
watoto.
Lugha
za mawasiliano
Kiingereza
Kiswahili
HUDUMA
ZITOLEWAZO
Burudani ya michezo kama vile mpiro wa miguu, muziki,
sinema, "dokumentari" n.k. kupitia Luninga kubwa, DSTV,
na sehemu maalumu ya kuoneshea burudani hizo.
Gharama za Huduma
Chumba
mtu mmoja: TZs
70,000.00
Chumba
cha watu wawili:
TZs
90,000.00
Apartment
- suite:
TZs 180,000.00
TZs
20,000.00 zinaongezeka kwa kila mtu mmoja
anayeongezeka chumbani.
Gharama
hizi zinajumuisha mlo kamili wa asubuhi yaani
kifungua kinywa.
KUPATA
NAFASI
Tutumie
ujumbe wa maulizo
katika mtandao
kupitia booking
form
au tuma
barua pepe kwenda:
booking@archotel-tz.com
Kwa
Mawasiliano tuandikie:
D.
Matovelo
Arc Hotel
P.O. Box 3112
Morogoro, Tanzania
Unaweza kupiga simu kama ifuatavyo:
| Simu
uwapo nchini: |
023
2600250 |
| Faksi
uwapo nchini: |
023
2600240 |
| Simu
uwapo nje ya nchi: |
+255
23 2600250 |
| Faksi
uwapo nje ya nchi: |
+255
23 2600240 |
| Simu
ya mkonomi: |
0769
600240 |
|
Simu
ya mkononi uwapo nje: |
+255
769 600240 |
|
Email:
|
info@archotel-tz.com |
|
|
|
|